Jamaa flani katoka kazini akiwa na huzuni kibao.Akaketi sebuleni na kushika tama,mke wake alipomuona akamfuata;
MKE:"Kuna nini mume wangu mbona una huzuni hivyo?"
MUME:"Nimepata tatizo kubwa sana pale kazini."
MKE:"Mume wangu tumeoana,sisi ni kitu kimoja sasa,usiseme nimepata sema tumepata...haya niambie hilo tatizo."
MUME:"Alaa...basi tumemtia mimba secretary wa bosi!"
Wednesday, August 29, 2012
Vituko uswazi
3:33 AM
No comments
0 comments:
Post a Comment