Jamaa mmoja kaenda kuoa akaambiwa mahari ni millioni 5.
Akashangaa,"Khaaa! Ati millioni 5 wakati hapo kwa jirani nimeambiwa laki 2 tu,tena mwanamke mwenyewe ana mimba tayari!!! Acheni mchezo,ongeeni bei ya kueleweka!"
Wednesday, August 29, 2012
Mtaani kwetu
3:43 AM
No comments
0 comments:
Post a Comment